Ronaldo atarudi Sporting – Mama

 


There are only a few people who can tell him what to do with Cristiano Ronaldo, but his mother and the player, Dolores Aveiro has said he will advise his son to return to Sporting this summer.

Ingawaje Ronaldo anaongoza kwa kufunga magoli Serie A msimu huu huku akifikisha jumka ya mabao 100 ndani ya Juventus baada ya ushindi wa 3-1  siku ya Jumatano dhidi ya Sassuolo lakini bado anapitia wakati mgumu msimu huu kutomalizandani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo ikiwa moja ya changamoto zinazomkabili.

“Nitazungumza naye Cristiano kumrudisha, msimu ujao atakuja kucheza Sporting,”- amesema mama huyo.

Ronaldo, 36, amebakiza mwaka mmoja katika mkataba wake na Juventus, lakini amehusishwa na kujiunga na Sporting na Manchester United.



Post a Comment

Previous Post Next Post